Ch 5 Flashcards Preview

Swahili > Ch 5 > Flashcards

Flashcards in Ch 5 Deck (177)
Loading flashcards...
1
Q

After studies/lessons/classes

A

Baada ya masomo

2
Q

Of course (“Without doubt!”)

A

Bila shaka!

3
Q

Break/s (I.e. school break), vacation/s, holiday/s

A

Likizo

4
Q

How was the break?

A

Habari za likizo?

5
Q

If you like

A

Kama unapenda

6
Q

To finish studies

A

Kumaliza masomo

7
Q

Printing paper (Paper for printing)

A

Karatasi ya kuchapishia

8
Q

(During the) time of break/vacation

A

Wakati wa likizo

9
Q

Why?

A

Kwa nini?

10
Q

Because

A

Kwa sababu

11
Q

Maybe, perhaps

A

Labda

12
Q

Language studies

A

Masomo ya lugha

13
Q

Secondary school

A

Shule ya sekondari

14
Q

We would like to buy …

A

Tungependa kununua …

15
Q

School items/, school suppy/lies

A

Kifaa cha shule/Vifaa vya shule

16
Q

Where did you go?

A

Ulienda wapi?

17
Q

What did you do?

A

Ulifanya nini?

18
Q

To see parents

A

Kuwaona wazazi

19
Q

For (the purpose of), Because of, For the sake of

A

Kwa ajili ya

Ajili - Reason, cause, sake

20
Q

Biology

A

Bayolojia

21
Q

Notebook/s

A

Daftari/madaftari

22
Q

Classroom/s

A

Darasa/madarasa

23
Q

Physics

A

Fizika

24
Q

Foreign

A

-geni

25
Q

Hard, difficult

A

-gumu

26
Q

Mathematics (2)

A

Hesabu, hesabati

27
Q

Geography

A

Jiografi

28
Q

Pen/s

A

Kalamu

29
Q

If, when

A

Kama

30
Q

Chemistry

A

Kemia

31
Q

Jaribio

A

Test, attempt, experiment, trial

32
Q

To take a test

A

Kufanya jaribio
Kufanya mtihani
(Jaribio: Test, attempt, experiment, trial)

33
Q

To need

A

Kuhitaji

34
Q

To remember

A

Kukumbuka

35
Q

To finish

A

Kumaliza

36
Q

To rest/relax

A

Kupumzika

37
Q

Language

A

Lugha

38
Q

Exam/s, test/s

A

Mtihani/mitihani

39
Q

Pencil/s

A

Penseli

40
Q

Color/s, paint/s

A

Rangi

41
Q

Subject/s

A

Somo/masomo

42
Q

Economics

A

Uchumi

43
Q

Period/s, Time/s

A

Wakati/nyakati

44
Q

More

A

Zaidi

45
Q

Less

A

Kasoro

46
Q

I’m a student at the university

A

Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu

47
Q

To graduate

A

Kuhitimu

48
Q

I will graduate this year (2)

A

Nitahitimu mwaka huu
Nitamaliza masomo mwaka huu
(Kumaliza: To finish, to complete, to end)

49
Q

My sister is in primary/elementary school

A

Dada yangu yuko shule ya msingi

50
Q

Primary/elementary school

A

Shule ya msingi

Msingi: Foundation, basis, essence

51
Q

What kind? What type?

A

Gani?

52
Q

What’ your favourite subject?

A

Unapenda somo gani zaidi?

53
Q

Language studies are important

A

Masomo ya lugha ni muhimo

54
Q

Important

A

Muhimo

55
Q

I need a new computer

A

Ninahitaji kompyuta mpya

56
Q

Which exam are you taking?

A

Unafanya mtihani gani?

57
Q

I have to study for my exam

A

Lazima nisome kwa ajili ya mtihani

58
Q

Imperative (noun) (= have to)

A

Lazima

-Lazima nisome kwa ajili ya mtihani - I have to study for my exam

59
Q

To pass (I.e. exam)

A

Kufaulu

60
Q

To pas (i.e. to transit)

A

Kupita

61
Q

I passed my exam!

A

Nimefaulu mtihani!

62
Q

Just fine

A

Nzuri tu

63
Q

And you?

A

Na wewe?

64
Q

Where did you go for break?

A

Ulienda wapi kwa likizo?

65
Q

To become

A

Kuwa

-Kwa sababu ninataka kuwa daktari - Because i wan’t to become a doctor

66
Q

Which subjects/classes do you like?

A

Wewe unapenda masomo gani?

67
Q

I like …

A

Mimi ninapenda …

-Mimi ninapenda historia, jiografia

68
Q

Which language do you like?

A

Unapenda lugha gani? (‘You like language which?’)

69
Q

To converse

A

Kuzungumza

70
Q

Later

A

Baadaye

-Baadaye Ali anazungumza na mwenyeduka - Later Ali talk with the bookstore salesperson

71
Q

Shopowner/shopkeeper

A

Mwenyeduka

72
Q

Writing pad/s

A

Karatasi ya kuandikia/Karatasi za kuandikia

73
Q

Bag/s

A

Mfuko

74
Q

Baggage

A

Mzigio

75
Q

School bag/s

A

Mkoba wa shule

76
Q

Do you need anything else?

A

Unahitaji nini zaidi?

77
Q

Sare (2)

A

Free, for nothing
Uniform
-Sare za shule - School uniform

78
Q

To want, to ask for, to request

A

Kutaka

79
Q

To teach, to educate

A

Kufundisha

80
Q

Haya (3)

A
  1. These
  2. OK, alright, come on
  3. Shame, disgrace, humility, respect
81
Q

Education, knowledge

A

Elimu

82
Q

National

A

Kitaifa

83
Q

International

A

Kimataifa

84
Q

To apply

A

Kuomba

85
Q

Present tense infix

A

-na-

86
Q

Past tense infix

A

-li-

87
Q

Future tense infix

A

-ta-

88
Q

I study swahili
I studied swahili
I will study swahili

A

Mimi ninasoma Kiswahili
Mimi nilisoma Kiswahili
Mimi nitasoma Kiswahili

89
Q

Subject marker of Ki-Vi class

A

3rd sg: ki-

3rd pl: vi-

90
Q

Subject marker of N class

A

3rd sg: i-

3rd pl: zi-

91
Q

If a noun refers to an animate being, how are it conjugated

A

The M-Wa subject prefixes will be used, regardless of which class it belongs to

92
Q

Radio

A

Redio

93
Q

To break down, to be ruined/damaged

A

Kuharibikia

94
Q

To ruin, to damage, to destroy

A

Kuharibu

95
Q

To get lost, to disappear

A

Kupotea

96
Q

To sell

A

Kuuza

97
Q

Past tense of ‘to be’ with examples

  • I was a student
  • The food was good
A

Use kuwa (As opposed to present tense where you only use si)

  • Mimi nilikuwa mwanafunzi
  • Chakula kilikuwa kizuri
98
Q

Past tense of ‘to have’ with examples

  • I had money
  • The city had many people
A

Kuwa na (As opposed to only -na in present tense)

  • Mimi nilikuwa na pesa
  • Mji ulikuwa na watu wengi
99
Q

Meeting/s

A

Mkutano

100
Q

During the

A

Wakati wa

101
Q

Far from …

A

Mbali na …

-Mbali na benki - Far from the bank

102
Q

In the …

A

Ndani na …

-Ndani ya mfuko - In the bag

103
Q

Near the …

A

Karibu na

-Karibu na nyumba

104
Q

To call a doctor

A

Kuita daktari

105
Q

Lake/s

A

Ziwa/maziwa

106
Q

Desert/s (geography)

A

Jangwa/majangwa

107
Q

From Monday through Friday

A

Kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa

108
Q

On Sundays

A

Siku za Jumapili

109
Q

On the, Above, over

A

Juu ya

-Juu ya meza - On the table

110
Q

Outside the

A

Nje ya nyumba

-Nje ya nyumba

111
Q

Year/s

A

Mwaka/miaka

112
Q

Week/s

A

Juma/majuma

113
Q

Kipindi

A

Season

  • Kipindi cha baridi - Cold season
  • Kipindi cha joto - Hot season
  • Kipindi cha mvua - Rainy season
114
Q

Noon

A

Adhuhuri

115
Q

To pass

A

Kupita

116
Q

To drive, to conduct

A

Kuendesha

117
Q

To consent, to approve, to receive

A

Kupokea

118
Q

Clerk/s, secretary/s

A

Karani/makarani

119
Q

Science

A

Sayansi

120
Q

Feminine

Masculine

A

kike, kiume

  • Mhudume wa kike - Waitress
  • Mhudume wa kume - Waiter
121
Q

Law, regulation, constitution

A

Sheria

-Mwanasheria - Lawyer, jurist

122
Q

Nurse (Male, female)

A

Mwuguzi wa kiume (Male) / kike ( Female)

-Wawuguzi wa kiume/kike - Nurses

123
Q

Bahari

A

Sea

124
Q

Without

A

Bila

125
Q

To volunteer

A

Kujitolea

126
Q

Asili

A

Origin, source, ancestor

Basic, foundation

127
Q

Volunteer/s

A

Mtu wa kujitolea/watu wa kujitolea

128
Q

How to form negative past tense

A

Negation marker (ha-) + subject prefix + infinitive form (ku-). Use hu- and ha- for you and he/she/it. For mimi it’s si- instead of ha-.

  • Mimi sikusoma Kiswahii - I did’nt study Swahili
  • Wewe hukusoma Kiswahili
  • Yeye hakusoma Kiswahili
  • Mimi sikuwa mwanafunzi - I was not a student
  • Chakula hakikuwa kizuri - The food wasn’t good
  • Nyumba haikuwa ndogo - The house wasn’t small
129
Q

Alternative name for N noun class, why

A

I-Zi class

  • Subject prefixes are i- and zi-
  • Possessives and of prefixes are y- and z-
  • Demonstratives are hii, hizi (this, these) and ile, zile (that, those)
130
Q

N noun class - Subject prefixes

A

i- for sg., zi- for plural.

131
Q

N noun class prefix of possessives and ‘of’

A

y- and z- (YoungZ)

132
Q

N noun class: this, these

A

Hii, hizi

133
Q

N noun class: that, those

A

Ile, zile

134
Q

Kalamu yanu, kalamu zangu

A
My pen, my pens
(The singular and plural forms of the nouns in the N-class are identical, the agreement markers on other elements of the sentence - verbs, possessives, demonstratives etc. will clearly show the number)
135
Q

This dream (N-class), these dreams

A

Ndoto hii, ndoto hizi

136
Q

Motokaa yangu iliharibika, translate

Form the same sentence in plural

A

My car broke down
(i- = it subject prefix for N-class, -li- = past tense, kuharibika = to break down)

Motokaa zangu ziliharibika - My cars broke down

137
Q

N-noun class - How to form adjectives (6)

A

Always the same in singular and plural, as with nouns in N-class.

  1. If an adjective stem begins with -d, -z or -g, it takes the prefix n- to agree with the N-class nouns
    - Kalamu ndogo, nyumba nzuri, , kazi ngumu
  2. If -b or -pya –> m-
    - Kahawa mbaya (bad coffee), meza mpya
  3. If -vowel –> ny- or y-
    -Safari nyingi (many trips), chaki nyeupe (white chalk), sukari yote (all the sugar), mvua njema (good rain)
    (Most important exception is -ema (good), which becomes njema)
  4. Animate nouns will always take M-Wa agreement on the adjective
    - Tembo mkubwa, tembo wakubwa. Rafiki wawil (Two friends)
  5. Change stem: -r –> nd- and -w –> mb-
    (-refu (long, tall), -wili (two))
    -Ndizi ndefu (a long banana/s)
    -Lugha mbili (two languages)
  6. For the rest of the adjective stems, there is no prefix at all
    - n, -m, -ng, -p (except -pya), -f, -t, -s, -sh, -ch, -k..
    - Shule kubwa, redio konge (old radio), stoo chafu (dirty storeroom/s), njia pana
138
Q

All

A

-ote

139
Q

Dirty

A

-chafu

140
Q

Wide

A

-pana

141
Q

Short

A

-fupi

142
Q

Fourty

A

Arobaini

143
Q

Eighty

A

Themathini

144
Q

22 people

A

Watu ishirini na wawili

1-5 and 8 agree when used after a tens-place number, just as they do on their own

145
Q

35 chairs

A

Viti thelathini na vitano

1-5 and 8 agree when used after a tens-place number, just as they do on their own

146
Q

How to say 200-900 - Write 101, 125, 200, 300, 587

A

Mia (hundred) + number of hundreds

  • 101: mia na moja
  • 125: mia na ishirini na tano
  • 200: mia mbili
  • 300: mia tatu
  • 587: mia tano na themathini na saba
147
Q

Thousand

A

Elfu

148
Q

22

A

Ishirini na mbili

149
Q

35

A

Thelathini na tano

150
Q

49

A

Arobaini na tisa

151
Q

56

A

Hamsini na sita

152
Q

60

A

Sitini

153
Q

70

A

Sabini

154
Q

95

A

Tisini na tano

155
Q

Kindergarten

A

Shule za chekechea (‘little things (

156
Q

Elementary school

A

Shule ya msingi

Msingi - Foundation, primary, basic

157
Q

White/European person/people

A

Mzungu/wazungu

158
Q

Kusoma (2)

A

To study, to receive education

-Watoto wa Kenya husoma shule ya msingi mikae minane - Children from Kenya go to/attend primary school for 8 years

159
Q

To sell

A

Kuuza

160
Q

To get lost, to disappear

A

Kupotea

161
Q

To fail (business, exam), to fall (down), to crash

A

Kuanguka

162
Q

To wake up

A

Kuamka

163
Q

Noun/s

A

Nomino/uwingi

164
Q

Adjective/s

A

Kivumishi/vivumishi

165
Q

Adverb/s

A

Kielezi/vielezi

166
Q

Cold

A

Baridi

167
Q

Warm, hot

A

Moto

168
Q

Dinner

A

Chakula cha jioni

169
Q

Spicy

A

-enye viungo vingi

-enye: possessing, viungo: spices. having. vingi: lots, a lot

170
Q

Spice/s

A

Kiungo/viungo

171
Q

Kilometer/s

A

Kilometa

172
Q

Metre/s

A

Mita

173
Q

Mile/s

A

Maili

174
Q

To save

A

Kuokoa

175
Q

Fedha vs pesa

A

Fedha: Money, cash, funds, currency
Pesa: Money

176
Q

Whole

A

-zima

177
Q

Day

A

Siku